Agano la Kale

Agano Jipya

1 Timotheo 6:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.

Kusoma sura kamili 1 Timotheo 6

Mtazamo 1 Timotheo 6:17 katika mazingira