Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, “Tule na tunywe, maana kesho tutakufa.”

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15

Mtazamo 1 Wakorintho 15:32 katika mazingira