Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa na hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 2

Mtazamo 1 Wakorintho 2:13 katika mazingira