Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 3:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 3

Mtazamo 1 Wakorintho 3:19 katika mazingira