Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wathesalonike 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni nyinyi wenyewe; nyinyi ndio tumaini letu na furaha yetu.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 2

Mtazamo 1 Wathesalonike 2:19 katika mazingira