Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wathesalonike 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 2

Mtazamo 1 Wathesalonike 2:4 katika mazingira