Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wathesalonike 5:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 5

Mtazamo 1 Wathesalonike 5:8 katika mazingira