Agano la Kale

Agano Jipya

1 Yohane 5:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo, anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia uhai. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo, nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba Mungu kwa ajili ya hiyo.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 5

Mtazamo 1 Yohane 5:16 katika mazingira