Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati Herode alipokuwa mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani mmoja jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya. Mke wake alikuwa anaitwa Elisabeti, naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni.

Kusoma sura kamili Luka 1

Mtazamo Luka 1:5 katika mazingira