Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wote, mmoja baada ya mwingine, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi: ‘Nimenunua shamba, na hivyo sina budi niende kuliangalia; nakuomba uniwie radhi.’

Kusoma sura kamili Luka 14

Mtazamo Luka 14:18 katika mazingira