Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 2:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.

Kusoma sura kamili Luka 2

Mtazamo Luka 2:25 katika mazingira