Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 24:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu akawaambia, “Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: Kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi.”

Kusoma sura kamili Luka 24

Mtazamo Luka 24:44 katika mazingira