Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 6:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye aliingia katika nyumba ya Mungu, akachukua ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu, akala na kuwapa wenzake. Haikuruhusiwa mtu kula mikate hiyo isipokuwa tu makuhani.”

Kusoma sura kamili Luka 6

Mtazamo Luka 6:4 katika mazingira