Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 8:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda hizo mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga na ndege wakazila.

Kusoma sura kamili Luka 8

Mtazamo Luka 8:5 katika mazingira