Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 1:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo.

Kusoma sura kamili Mathayo 1

Mtazamo Mathayo 1:17 katika mazingira