Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 11:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: “Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?

Kusoma sura kamili Mathayo 11

Mtazamo Mathayo 11:7 katika mazingira