Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 12:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka.

Kusoma sura kamili Mathayo 12

Mtazamo Mathayo 12:25 katika mazingira