Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 14:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na saa za mchana zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula.”

Kusoma sura kamili Mathayo 14

Mtazamo Mathayo 14:15 katika mazingira