Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Petro akamwendea Yesu, akamwuliza, “Je, ndugu yangu akinikosea, nimsamehe mara ngapi? Mara saba?”

Kusoma sura kamili Mathayo 18

Mtazamo Mathayo 18:21 katika mazingira