Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.

Kusoma sura kamili Mathayo 2

Mtazamo Mathayo 2:16 katika mazingira