Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’

Kusoma sura kamili Mathayo 20

Mtazamo Mathayo 20:6 katika mazingira