Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnaufunga mlango wa ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. Nyinyi wenyewe hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie. [

Kusoma sura kamili Mathayo 23

Mtazamo Mathayo 23:13 katika mazingira