Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 23:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate dini yenu. Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu kuliko nyinyi wenyewe.

Kusoma sura kamili Mathayo 23

Mtazamo Mathayo 23:15 katika mazingira