Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 23:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu sehemu moja ya kumi, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndio hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine.

Kusoma sura kamili Mathayo 23

Mtazamo Mathayo 23:23 katika mazingira