Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 23:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyanganyi na uchoyo.

Kusoma sura kamili Mathayo 23

Mtazamo Mathayo 23:25 katika mazingira