Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 23:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. Naam, tangu kumwagwa damu ya Abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka ile ya Zakaria, mwana wa Barakia, ambaye mlimuua hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.

Kusoma sura kamili Mathayo 23

Mtazamo Mathayo 23:35 katika mazingira