Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 26:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huohuo Yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, “Je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mnyanganyi? Kila siku nilikuwa hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!

Kusoma sura kamili Mathayo 26

Mtazamo Mathayo 26:55 katika mazingira