Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya, aliwaona ndugu wawili wavuvi; Simoni (aitwaye Petro) na Andrea, ndugu yake; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani.

Kusoma sura kamili Mathayo 4

Mtazamo Mathayo 4:18 katika mazingira