Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 4:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine wawili: Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. Basi, Yesu akawaita,

Kusoma sura kamili Mathayo 4

Mtazamo Mathayo 4:21 katika mazingira