Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 4:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Habari zake zikaenea pande zote za Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: Waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote.

Kusoma sura kamili Mathayo 4

Mtazamo Mathayo 4:24 katika mazingira