Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 5:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: ‘Pumbavu’ atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.

Kusoma sura kamili Mathayo 5

Mtazamo Mathayo 5:22 katika mazingira