Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 5:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

Kusoma sura kamili Mathayo 5

Mtazamo Mathayo 5:32 katika mazingira