Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Kusoma sura kamili Mathayo 6

Mtazamo Mathayo 6:2 katika mazingira