Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 6:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?

Kusoma sura kamili Mathayo 6

Mtazamo Mathayo 6:25 katika mazingira