Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 6:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikiwa basi, Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, si atawafanyia nyinyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!

Kusoma sura kamili Mathayo 6

Mtazamo Mathayo 6:30 katika mazingira