Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 7:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali.

Kusoma sura kamili Mathayo 7

Mtazamo Mathayo 7:15 katika mazingira