Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 8:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.

2. Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia na kusema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!”

3. Yesu akanyosha mkono, akamgusa na kusema, “Nataka! Takasika.” Mara huyo mtu akapona ukoma wake.

Kusoma sura kamili Mathayo 8