Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, “Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli mwenye imani kama hii.

Kusoma sura kamili Mathayo 8

Mtazamo Mathayo 8:10 katika mazingira