Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.

Kusoma sura kamili Mathayo 8

Mtazamo Mathayo 8:16 katika mazingira