Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 8:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alifika katika nchi ya Wagadara, ngambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita njia hiyo.

Kusoma sura kamili Mathayo 8

Mtazamo Mathayo 8:28 katika mazingira