Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 9:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, “Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali twende umwekee mkono wako naye ataishi.”

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:18 katika mazingira