Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 9:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda zake, alimwona mtu mmoja aitwaye Mathayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Basi, Yesu akamwambia, “Nifuate.” Naye Mathayo akainuka, akamfuata.

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:9 katika mazingira