Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 15:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.

Kusoma sura kamili Ufunuo 15

Mtazamo Ufunuo 15:2 katika mazingira