Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 15:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa na kanda za dhahabu vifuani mwao.

Kusoma sura kamili Ufunuo 15

Mtazamo Ufunuo 15:6 katika mazingira