Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 18:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake.

Kusoma sura kamili Ufunuo 18

Mtazamo Ufunuo 18:1 katika mazingira