Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 19:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake, nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, “Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunamshuhudia Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ushuhuda wa Yesu ndio unaowaangazia manabii.”

Kusoma sura kamili Ufunuo 19

Mtazamo Ufunuo 19:10 katika mazingira