Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 21:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uhai cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.

Kusoma sura kamili Ufunuo 21

Mtazamo Ufunuo 21:27 katika mazingira