Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 3:12 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mshindi nitamfanya awe nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yake jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yake jina langu jipya.

Kusoma sura kamili Ufunuo 3

Mtazamo Ufunuo 3:12 katika mazingira