Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwanakondoo amesimama, akizungukwa kila upande na wale viumbe hai wanne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.

Kusoma sura kamili Ufunuo 5

Mtazamo Ufunuo 5:6 katika mazingira