Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 6:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa wale viumbe hai wanne. Nayo ilisema, “Kibaba kimoja cha unga wa ngano kwa kiasi cha fedha denari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa denari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 6

Mtazamo Ufunuo 6:6 katika mazingira